Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Tuesday, February 2, 2016

Thursday, July 3, 2014

SABABU ZAKUKUFANYA USIWE TAJIRI KAMWE.

1. Overspending
If you have a ferocious appetite for spending beyond your means, you’re not alone. According to a survey, of the

HII NDIO LIST YA WATU 11 MAARUFU WANAOCHUKIWA NA BAADHI YA MATAIFA DUNIANI,

 Bashar al-Assad is the president of Syria and regional secretary of the Ba'ath Party. Al-Assad was elected in 2000 and re-elected unopposed in 2007.

TAHADHARI JUU YA SHAMBULIO UGANDA.

Polisi nchini Uganda wamedhibiti usalama mjini Kampala kufuatia onyo la mashambulizi ya kigaidi kupangwa kufanywa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa

Monday, May 19, 2014

Friday, February 21, 2014

AL-SHABAAB WASHAMBULIA IKULU.



Mogadishu
Wapiganaji wa kundi la wanamgambo la Al Shabaab nchini Somalia meshambulia Ikulu ya Rais katika mji mkuu

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YAMETOKA KIWANGO CHA UFAULU KIMEPANDA.

Leo hii baraza la Mitihani Tanzania limetangaza matokeo ya Kidato cha nne ambapo kiwango cha ufaulu kimepanda.hapo chini ni link ya matokeo yenye
http://41.188.155.122/CSEE2013/olevel.htm

Saturday, October 26, 2013

HABARI KUHUSU MBOWE KUMILIKI MAJUMBA ZACHUKUA SURA MPYA:

By Haki sawa View Post
Kutokana na mjadala ambao tayari umeshawekwa hapa na kujadiliwa kwa siku mbili mfululizo , nimeona kuwa kuna watu wanafanya propaganda badala ya kujaribu kuutafuta ukweli wa jambo lenyewe na kuangalia rationale ya jambo linalojadiliwa .
Mimi niliamua kufanya jambo moja la kujaribu kuangalia nini alichokua amedeclare Mbowe kwenye Tume ya maadili ya viongozi kwa mujibu wa Sheria ya maadili ya viongozi wa umma , nimekuwa mambo yafuatayo na kama yupo ambaye anaweza kunichallenge na aje a seem hapa na sio kuhangaika na Gutter politics ,

Mbowe Freeman , kwenye fomu zake alideclare kuwa anamiliki nyumba kwenye nchi

JK: CCM INAWEZA KUNG'OKA 2015

Dodoma. Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete amesema kama rushwa haitakomeshwa ndani ya chama hicho, katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2015 kitaanguka vibaya na iwapo kitanusurika hakitapita kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.Katika hatua nyingine, Rais Kikwete

ICC,"RUTO SHARTI ASHIRIKI KESI YOTE"

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC imeamua sharti Naibu Rais wa Kenya William Ruto avihudhurie vikao vyote wakati wa kesi yake ambapo ameshtakiwa kutekeleza uhalifu wa kivita. Viongozi wa mashtaka walipinga uwamuzi wa awali ambapo Bw Ruto angekubaliwa kushiriki vikao vichache tu huku akitumia muda wake mwingi nchini Kenya.
Hata hivyo mahakama imesema licha ya uwamuzi huo